Monday 17 August 2015

MABASI YAENDAYO KASI YAANZA KAZI LEO DAR ES SALAAM

Mabasi yaendayo kasi (BRT) katika Jiji la Dar es Salaam yanaanza leo na abiria watasafirishwa Kimara hadi Kivukoni Bure katika uzinduzi huu






moja ya basi la mwendo kasi likikatiza mtaa wa Lumumba ikiwa sehemu ya majaribio ya mabasi hayo ambayo yanaaminika yataondoa kabisa tatizo la usafiri katika jiji la Dar es Salaam


Mabasi yakisafirisha watu Dar leo

No comments:

Post a Comment