Mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa Edward Lowassa akiwa
kwenye daladala leo Agosti 24, 2015 asubuhi kuangalia kero za wananchi.
13:42:00
Hapa ni maeneo ya Gongolamboto kuelekea Chanika wakati akijaribu kuzungumza na wananchi moja kwa
moja kwa njia ya kuwaweka karibu ili kujua matatizo yanayowasumbua
EDWARD LOWASSA NDANI YA DALA DALA JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: