Harakatinews
Tuesday 28 July 2015
MAPADRI WATATU NA MTAWA WAFARIKI KATIKA AJALI
Ajali mbaya imetokea leo asubuhi baada ya gari la Mapadri wa Jimbo la Rulenge kugongana na basi la Sabuni na kuua mapadri wawili na mtawa mmoja wakati wakielekea Wilayani Karagwe.Ajali imetokea kijiji cha Bugorola Wilayani Missenyi.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment